Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Habari ya muda huu wana JF,
Naomba tupeane ujuzi wa maeneo wanapopatikana mafundi wazuri kwa vigezo vifuatavyo.
1. Ujuzi mzuri.
2. Bei nafuu.
3. Uaminifu.
4. Maeneo wanapopatikana
Itakua sio vibaya kama utaweka location na contact zao hapa.
Binafsi huwa natumia fundi mmoja yupo mikocheni karibu na kairuki ni muaminifu, bei nzuri ila kwenye ujuzi ndio janja janja nyingi mno labda umpelekee kwa service ya kawaida tu ila mambo mengine nilijuta.
Naomba tupeane ujuzi wa maeneo wanapopatikana mafundi wazuri kwa vigezo vifuatavyo.
1. Ujuzi mzuri.
2. Bei nafuu.
3. Uaminifu.
4. Maeneo wanapopatikana
Itakua sio vibaya kama utaweka location na contact zao hapa.
Binafsi huwa natumia fundi mmoja yupo mikocheni karibu na kairuki ni muaminifu, bei nzuri ila kwenye ujuzi ndio janja janja nyingi mno labda umpelekee kwa service ya kawaida tu ila mambo mengine nilijuta.