Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Hivi anayewauzia magari wasanii anaitwa nani? Maana wanatumia muda mwingi gereji kuliko barabarani......#Nunua gari mpya mkuu achana na screpaz.....Ukishaanza kulikorochoa gari kwa hawa mafundi uchwara wa mitaani ipo siku gari lako litaungua.
Hapana mkuu simaanishi 0 km namaanisha hizi tunazoagiza kutoka japani 2nd hand ambapo huku kwetu tunaita mpya,screpaz namaanisha hizi mikweche ya hapa TZ.Mkuu gari mpya unamaanisha zero km?
Matatizo hayo mafundi wengi wapo haihitaji kuumiza kichwa.....Nilivyoona umeanzisha uzi wa kutafuta wataalamu wa ufundi nikajua hapa unatafuta mafundi wa kusuka engine,kusuka gear box,carburetor,timing belt etc ila wa services au kubadilisha kifaa kilichoaharibika hao wapo wengi sana!matatzo ya kugonga, kujisahau service ukaua kitu, gari kuharibika kwa sababu mbali mbali
Mkuu gari mpya unamaanisha zero km? Watanzania wengi hatuna uwezo wa zero km. Pia fahamu hata gari likiwa jipya kuna matatzo ya kugonga, kujisahau service ukaua kitu, gari kuharibika kwa sababu mbali mbali n.k.
Unaweza kununua used car hapa bongo na usiguse garage zaidi ya service na ukanunua mpya zero km siku ya pili upo garage...
Just understand hizi ni machine....
Magari mapya kabsa bongo kama sio la shirika flani au NGO basi ni la serikali au fogo mmoja hv town.Kuna gari mpya isiyo na warrant Mzee baba?
Lazima utapewa miezi sita au 5,000km za uangalizi na free services.