Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Huu ni uzi maalum wa kila mwenye wazo au chanzo kipya cha mapato kwa ajili ya serikali yetu ambacho hakitasumbua wala kuumiza watu. Maana hii kazi inabidi iwe ya Watanzania wote na inabidi uwe mjadala wa wazi mahali popote ili watu watoe mawazo ya kujenga nchi. Na sio kuleta kodi za kuumiza watu.
Karibuni watu wote mtoe na kubuni vyanzo vipya. Usiwe na hofu, maana wazo lako ni la thamani mno! Hata kama lina mapungufu watu wataliboresha. Usiwe na hofu wazo lako ni la muhimu na thamani kwako wewe na kwa taifa.
NB: KODI YA KWENYE MAKATO YA MIAMALA YA SIMU IFUTWE, NI MBAYA MNO NA HAINA STAHA KABISA.
Karibuni watu wote mtoe na kubuni vyanzo vipya. Usiwe na hofu, maana wazo lako ni la thamani mno! Hata kama lina mapungufu watu wataliboresha. Usiwe na hofu wazo lako ni la muhimu na thamani kwako wewe na kwa taifa.
NB: KODI YA KWENYE MAKATO YA MIAMALA YA SIMU IFUTWE, NI MBAYA MNO NA HAINA STAHA KABISA.