Uzi wa kujibu hoja bila kuweka hitimisho !

Kisai

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2018
Posts
28,481
Reaction score
28,749
Huu ni uzi wa kujibu hoja bila kuweka hitimisho,yaani kuiacha hoja hewani hewani,na itakuwa vizuri zaidi kama haitaeleweka.

Zingatio :

Chunga heshima za watu,tumia lugha nzuri na tusitiriane.

Kuna sababu zaidi kuu mbili zilizo nipelekea kuandika uzi huu. Sababu ya kwanza,sababu hii ya kwanza nitaielezea nikiwa naelezea sababu ya pili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…