Uzi wa kupeana mbinu za kuondoa vitambi na kutengeneza mwili - Karibuni tupeane maarifa

Uzi wa kupeana mbinu za kuondoa vitambi na kutengeneza mwili - Karibuni tupeane maarifa

Criterion

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2008
Posts
11,797
Reaction score
11,891
Wanajamvi, natumaini ni siku nyingine njema kwa kila mtu ambayo Mungu ameifanya. Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kuondoa vitambi, kutengeneza mwonekano bora wa mwili na kuimarisha afya. Naomba yeyote mwenye weledi katika haya achangie hapa ili kuwasaidia watu wanaohanganika na matatizo haya.

Karibuni sana tupeane maarifa.
Mfano matatizo kama:

1. Uzito mkubwa unaohatarisha maisha.
2. Kujikinga na magonjwa kama sukari, hbp, n.k
3. Vyakula vinavyotakiwa katika umri fulani.
4. Mazoezi bora ya viungo kwa jinsia na umri.
5. Kujikinga na msongo wa mawazo.
6. Namna ya kujenga akili kwa kupunguza kuongea.
7. Afya ya meno na uwezo wa kuzungumza.
n.k, n.k.
 
Vitambi kuviondoa wakati ni sifa nzuri na ni ishara ya afya njema na uwepo wa fedha mfukoni pia kitambi huleta heshima na ukuu, ukivaa suti unapendeza. Wasiokuwa na vitambi wanavitaka
 
Wanajamvi, natumaini ni siku nyingine njema kwa kila mtu ambayo Mungu ameifanya. Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kuondoa vitambi, kutengeneza mwonekano bora wa mwili na kuimarisha afya. Naomba yeyote mwenye weledi katika haya achangie hapa ili kuwasaidia watu wanaohanganika na matatizo haya.

Karibuni sana tupeane maarifa.
Mfano matatizo kama:

1. Uzito mkubwa unaohatarisha maisha.
2. Kujikinga na magonjwa kama sukari, hbp, n.k
3. Vyakula vinavyotakiwa katika umri fulani.
4. Mazoezi bora ya viungo kwa jinsia na umri.
5. Kujikinga na msongo wa mawazo.
6. Namna ya kujenga akili kwa kupunguza kuongea.
7. Afya ya meno na uwezo wa kuzungumza.
n.k, n.k.

Kama kuna mtu anaitaj kupata elimu ya mazoezi ikiwemo mazoezi unayoweza kufanya ili kupunguza kitambi aje inbox ili apewe maelekezo na ni free
 
Back
Top Bottom