Uzi wa kushonea nywele

salito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
1,406
Reaction score
731
Habari wanajamvi,

Naomba mnisaidie hili jambo,ninahitaji kuanzisha biashara ya kuuza uzi (kwa jumla) wa kufumia au siku hizi wanashonea nywele,tatizo sijui kiwanda kilipo,kariakoo nikienda wataniuzia jumla pia kwa hiyo wateja wangu ntawaumiza,sasa naomba msaada wa kufahamishwa kama kuna kiwanda hapa bongo au huu uzi unapatikana vipi kwa jumla ili nami niweze kuuza jumla kama wanavyouza kkoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…