Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
Jina kubwa hilo Queen unakosaje bundle Queen kama Queen of Sheba history inajieleza kuwa sio myonge kabisa ni tajiri toka enzi hizo... we mtu mkubwa unakosaje bundle [emoji23][emoji23][emoji23] ukikosa nitakuwezesha cha mwezi kabisa ili uje sasa sijui utasingizia nn na hapo. [emoji6]wewe apo unajuaje sijatokea sababu sina bando[emoji38]
Jina kubwa hilo Queen unakosaje bundle Queen kama Queen of Sheba history inajieleza kuwa sio myonge kabisa ni tajiri toka enzi hizo... we mtu mkubwa unakosaje bundle [emoji23][emoji23][emoji23] ukikosa nitakuwezesha cha mwezi kabisa ili uje sasa sijui utasingizia nn na hapo. [emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani hapa sasa ndio nimejua dhahiri kuwa hutaki kuitikia wito kinachofuata ni kukujia PM sasa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lol, basi mtandao utakua unasumbua nisipokuja
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂mkuu unatafuta mke na mme kwa pamoja ?
Samahani sijasoma uzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani hapa sasa ndio nimejua dhahiri kuwa hutaki kuitikia wito kinachofuata ni kukujia PM sasa.
Embu Fanya mpango tuongee chumbani.Ni kweli ila hata huyo wa kumuweka kiraka simpati mkuu meno [emoji2368]
Sipajua hata ndio napaulizia kutoka kwa mod lakini najua nitafika kwa msaada wao [emoji23][emoji23]PM ndo wapi?
Karibu tuyajenge mkuu[emoji3]uzi unaruhusu huu
ndo pale unapotea njia[emoji23]Sipajua hata ndio napaulizia kutoka kwa mod lakini najua nitafika kwa msaada wao [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Nitakuja mida ile ambayo watoto wanakuwa wameshalala ndio nitafika hapo nategemea kukukuta ukiwa bado ujalala.ndo pale unapotea njia[emoji23]
Huo mda ndo kabisaaa utakua huoni hata njia.[emoji23][emoji23][emoji23] Nitakuja mida ile ambayo watoto wanakuwa wameshalala ndio nitafika hapo nategemea kukukuta ukiwa bado ujalala.
Uzuri unajua wapi pakunipata hata nikipotea [emoji6] hushindwi kunitafuta na kunipata jukwaa langu pendwa unaijua [emoji4]Huo mda ndo kabisaaa utakua huoni hata njia.
napapata freshUzuri unajua wapi pakunipata hata nikipotea [emoji6] hushindwi kunitafuta na kunipata jukwaa langu pendwa unaijua [emoji4]
Utanifuata ukiona sijafika huko Pm [emoji23]ahahaaa napapata fresh
Sawaaaa[emoji6]Utanifuata ukiona sijafika huko Pm [emoji23]
Weka vigezo vyako,vijana wachakakie fursa,una fail wapi dadanguBado dear, yaani hadi nimechoka kutafuta sasa[emoji19]
Weka sifa zako pamoja na za yule unayemuitajiMi natafuta mchumba wa kumuoa
Nimeitikaa[emoji3][emoji3]