Nashukuru Muumba maisha yangu ya kujibana kwa miaka 7 nje ya nchi hayakuwa ya bure[emoji1] [emoji1] kumbe uko njema! Ngoja na sie tuzisake za ndoto zetu!
Sent using Jamii Forums mobile app
VERY SOON I'LL BE ON THIS
thanks brother, iyo ni AUDI A5 ya 2012We jamaa unajua vitu vzr,big up.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Si anajinasibugi kuwa alipewa chuma la AUDI?Alipewa na nani mkuu?
Au unafananisha hiki chuma na ile takataka aliyopewa kipindi kile aliposhinda mfalme wa rhymes?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Shukran Mkuu itabidi nikaweke oda ya Kaunda suti kwa fundi Charahani siku ya uzinduzi wa Mundende...[emoji28][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji23][emoji1787][emoji28].
Nashkuru sana Mkuu, nikifanikisha nitakualika siku ya kuizindua, uwe mgeni wa heshima kuizindua Mundende.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipopewa ufunguo siku moja nikaambiwa unaona nini katika neno Range Rover nikasema kawaida tu
Ndio hizi za Kenya ? [emoji23][emoji23]Muda utaongea tuu..kikubwa uzimaView attachment 1060627
What the caption of this vehicle meaning what Toyota model is this
Toyota Corolla RumionWhat the caption of this vehicle meaning what Toyota model is this
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana Mkuu, shona mbili, Mundende si mchezo, hadi kaunda Suti mkuu[emoji1787][emoji23][emoji28][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji5]Shukran Mkuu itabidi nikaweke oda ya Kaunda suti kwa fundi Charahani siku ya uzinduzi wa Mundende...