Uzi wa kutupia kazi za Fundi Maiko

naona tu kwa mtandao fund maiko,ebu toen ufafanuz kwa tusiomjua tuwez ngamua
Fundi yeyote mzinguaji, asiye na taaluma ya kutosha na fani yake.Kazi zake ni bora liende (mzee wa kulipua)

Basi ukikutana na kazi yoyote imefanywa chini ya kiwango bila shaka kazi hiyo elewa imefanywa na fundi Maiko tu. Mtu asiyefuata ethics za kazi, hazingatii ubora wa kazi wala hajali usalama wake awapo kazini.
 
naona tu kwa mtandao fund maiko,ebu toen ufafanuz kwa tusiomjua tuwez ngamua
Fundi alifanya kazi ya serikali ,wakati kiongozi anakuja pale kwenye jiwe la msingi akaandika viongozi nilipeni kwanza hela yangu ,acheni ubabaishaji, badala ya kuandika jengo hili limezinduliwa na Mkuu wa wilaya au kiongozi husika ....kazi yenyewe alikuwa amelipua lipua, pitia kwenye Uzi mwanzoni utamuona.
 

Attachments

  • FB_IMG_1567968186515.jpg
    23 KB · Views: 51
hapa ss nmeelewa mkuu,kumbe n fund yyte mzinguaj ndo waamu adress kama fundi maiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…