Hapo sawa.
Sijui kama utanielewa hapa
Hiyo ndio cancer yangu sasa
Tukishaonana tukapumzka utavaa hii au haupendi
Hahahaha, nilitaka nitupie navyoendaga navyo gym adidas $ 60 tu,naachaMkuu ukianza kuweka na bei utawatoa watu povu hapa.....!
Nakipata wapi hata mimi nakitaka
Napenda mwanaume akivaa hiki kiatu jaman
hahaha [emoji122][emoji122][emoji122]hata mm mume wang hawez vivvaa aisee !ht mm ntavificha
alafu kwa mbali imekula uzi wa mkono.Kapigilia suruali ya kitambaa