Utarudi usijaliYan huku nilipo hakuna umeme sm inakaribia kuzima nataman kulia kwa kweliiii
mmh![emoji20]Aiseee kwa hali hiyo wacha nikupe hii kitu
[emoji23][emoji28][emoji23]Mguu huu ni miguu ya wakaz wa daslam bila shaka upo daslam mkuu
All the way from Germany
Im joking my dear....nina viatu kiasi kwamba nakaa miezi vingine sijawahi kuvaa!Mtafute yawezekana yupo Dukani
Nitakusindikiza kuchagua sawa
sawa mkazi wa mkoani.......niko huku engusero kwa sasaMguu huu ni miguu ya wakaz wa daslam bila shaka upo daslam mkuu
ndani ya bahari au?Nipo hapa pembezoni mwa magogoni
Asante mkuu....mwaka huu sinunui tena kiatu.
Namba ngapi?Aiseeee uninunulie na mm basiii acha uchoyooo
Mmmhhh, hayaNa hiyo rangi yako ya chotara wa kunyumba wewe unapendeza sana jaman najua