Uzi wa kutupia picha za viatu vya kiume!

Mkuu umesema viatu vya kiume au vya wanaume wa Dar???
Wakimbia mende
 
U'mfuatiliaji mzuri wa styles ila haijalishi sana mkuu kuna sehem tukiingia na hivyo hivyo tuanaonekana sio wa kawaida hata kidogo.
We jamaa ni lecture chuo.fulani dodoma, kama sio mmefananisha kinoma mikato ya viatu na cadet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…