[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo Zao Kuvaa Hivi ila Navipenda Hivi mwanaume akivivaa
Wakak wa chuo sna neno
Hiki Hapana Ukiona Mwanaume Anakutongoza Kavaa Hiki Kiatu Jua Hauko Peke yako[emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi Soksi huoni Kama Zimeisha Au Ndo Vyuma Vimekazaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Gentleman style
Kuna Hicho Ngozi Pure Kama Kimepanda Hivi Hicho Ni kiatuu
Wanaume wa chuo vyao hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo Zao Kuvaa Hivi ila Navipenda Hivi mwanaume akivivaa
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
We jamaa ni lecture chuo.fulani dodoma, kama sio mmefananisha kinoma mikato ya viatu na cadetU'mfuatiliaji mzuri wa styles ila haijalishi sana mkuu kuna sehem tukiingia na hivyo hivyo tuanaonekana sio wa kawaida hata kidogo.
Hii hapana labda Beira
Hiki kinawafaa. Wasukuma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Forex ilianza hivi hivi..
mwishoni tu usije tuambia unauza hivyo viatu
Iki nimekielewa. Nami ngoji nitupie changu (kiatu)
Aiseee hiki wafanyakazi wa tanesco tuko pamojaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Aika mimi mskuma. [emoji3] [emoji3] [emoji3] Kwanini umetoa chaguo kwa SukumaHiki kinawafaa. Wasukuma