Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
Mtkasi gani tena best? Nkumbushe tumezungumza mengi kiaina.Alafu ile issue yetu iliishia njiani
Shibuda wa CHAUSITA??Hahahahah mm mtoto wa Shibuda wewe baba angu unamjua unamsikia
Huyu amezowea viatu vinavyoambatana na mahirizi.Utakuwa kasukuma wewe..!
Hivi hujui ata watu wanaonyuka pamba hicho nacho kiatu...!
Ata sikutegemea mbwembwe zote kumbe kabintipori.Huyu amezowea viatu vinavyoambatana na mahirizi.
Umejuaje kuwa hii ndo mikato yangu? Ubalikiwe na bwana
Uskonde utalala na Mimi mnyamwezi....hivi kwanza yule mganga anajua kupiga deki kule kusini kweli? Bondeni kule? I wanna make you Happy and less paranoid.Picha zako za kutishaaa mm naogopa kulala
Itapendeza ninunue Mimi hikiNikununulie