Midosho ndo niniviatu ulivyoweka vyote midosho.
watu wa mjini washaelewa.Midosho ndo nini
Ewaaa.....hapo sawa!
Dada mm anga zako nazijua ni hapa
HahahahaaaHiki kitafaa sana siku ya kunikimbia au sio
Sijasahau zile mbio zetu mm nitavaa hivi
Gauni
Alafu kiatu nitavaa hichi
MafambaMidosho ndo nini
SawaWow! Nimekipenda
Siku ya kukukimbia? Ndo ipi hiyo?Hiki kitafaa sana siku ya kunikimbia au sio
Sijasahau zile mbio zetu mm nitavaa hivi
Gauni
Alafu kiatu nitavaa hichi
Tena nitatembea mwendo wa kinyonga, sitaki kukutangulia mimi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]utanipita hiyo skonko hujaiona naogopa kuanguka
Usumbufu na huu mzigo kichwani mwangu si nitavunja mguu...[emoji12] [emoji12] [emoji12]Hutak usumbufu kabisaaa