Uzi wa kutupia picha za wanaume mahandsome!!!

Hapana van vicker mzuri lakin mfupi ila
Kuna huyu View attachment 689150 najiulizaga hivi zari hakumuona huyu kaka bank wiliam anatangaza pia coka ameoa huyu mkaka jamani huyo mwanamke dahaa ana bahati
hahaaa eti zari hakumuona huyu..huyu maaaaa ana mawe mkuu ile mbaya..yupo top 10 list ya wasanii wenye Pesa Africa..so kwahiyo status atkuwa anamuona zari kama snura tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…