Uzi wa kutupia picha za wanaume mahandsome!!!

Nielekeze jinz ya kutuma
Ngoja mzigua akuelekeze,,naona kazi kweli





Unaona hiki kidude hapa chini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] cha pili toka mwisho kibonyeze kisha chagua picha unayotaka rusha,kama unatumia app ya jf
 
una upload picha za warembo unasema ma handsome , watu full kujipiga madawa kwenye nywele mpaka kope halafu unamwita handsome, dah kweli wanawake wa kiafrika mnapenda kuibiwa
Eti Mashoga wanaitwa Mandsome hawa wanawake bure kabisa
 
Demiss ni mdada mmoja hivi anakaa ununio



መመመመበጨጨሸበነነጀ(link)

Story ya mchaga npenda pesaa na mpare mbahili


Kwakwakwakwakwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Demiss ni mdada mzuri sana,anapenda kunywa pombe kistaarabu sana. Alafu anajiachia balaa
 
Nimekubali ule usemi unaosemagwa humu kuwa huwezi kupata mwanamke humu JF........maana nashangaa wanashobekea na kupost picha za mashoga
 
Mtaishia kuwaona kweny picha tu...wanawake jiongezen akili...pambaneni na levo zenu
 
Wanaojiita Mahandsome wooote huwa wana vibamia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…