Tuma pm tutakusadia kuweka handsome.Nataka kuweka Picha yangu na mm ila kuiweka ndio tabu siwezi
Mama Sabrina nielekeze tuboreshe uzi
Mtaniuaaaa mjue.Kwann wanaume wa Jf Ukiwakataaa pm wanakuja kukutukana kwenye comment
Pita na hapa
Wanaume wa Jf wana wivu sana
Tuma pmNataka kuweka Picha yangu na mm ila kuiweka ndio tabu siwezi
Mama Sabrina nielekeze tuboreshe uzi
Nielekeze jinz ya kutumaTuma pm
Ngoja mzigua akuelekeze,,naona kazi kweliNielekeze jinz ya kutuma
Nielekeze jinz ya kutuma
Eti Mashoga wanaitwa Mandsome hawa wanawake bure kabisauna upload picha za warembo unasema ma handsome , watu full kujipiga madawa kwenye nywele mpaka kope halafu unamwita handsome, dah kweli wanawake wa kiafrika mnapenda kuibiwa
Demiss ni mdada mzuri sana,anapenda kunywa pombe kistaarabu sana. Alafu anajiachia balaaDemiss ni mdada mmoja hivi anakaa ununio
መመመመበጨጨሸበነነጀ(link)
Story ya mchaga npenda pesaa na mpare mbahili
Kwakwakwakwakwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe usinikimbizie mchumba mm sinywi pombeee