Kiatu chako kidogo sana mkuume mwenyewe handsome vile vile
Wazuri kwa bedMahandsome au
Umeona mkuu yaani ni ujinga kwa kwenda mbele!!Namna hii ndio tunawaza kuendelea? Pumba kabisaa
Halafu mbona kaka yangu HEMED PHD sijamuona mpaka sasa humu au hastahili, Rammy n.kSanaaaa ukimuona tu tayar unaloa
Mimi sijamuona yule alokuwa mweupe baada ya kunywa maji yale yanayoitwa masafi.Halafu mbona kaka yangu HEMED PHD sijamuona mpaka sasa humu au hastahili, Rammy n.k
Demis nikikosa nafasi hapa bia hupati.
Mkuu hivi ulinipiga picha kwa matumizi ya kudhalilishana humu ona sasa mpaka tushajuana sijapenda nakupigia hupokei
Hb wa Nyanguge
Wanaume hensam ni wale wapo kazini.
Daadeqi, wapo mzigoni wanabeba matofali. Wamerowa jasho kwa kazi za kiume.
Soldiers, men in uniform who protect us as we sleep. Hapa ndo usiseme.
Gym instructors kama BBW. Who make us break the sweat na wao wenyewe full mijasho.
Sio mwanaume anaweka pozi kabisa kwa ajili ya photoshoot.