Teh..inawezekana ila mimi nimefanya reference ya avatar yake na jina lake. Yaani ukiunganisha hivyo vitu viwili image inayonijia kichwani ni ya Remmy Ongala.Gudume bonge la handsome asikwambie mtu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jaman ila kweli hili jina lake uuuuwiiiii mm niliwaza ni Hamorapa kabisaTeh..inawezekana ila mimi nimefanya reference ya avatar yake na jina lake. Yaani ukiunganisha hivyo vitu viwili image inayonijia kichwani ni ya Remmy Ongala.
Duh ila naogopa, twende wote basiHahahahahahhah Utanichombeza Mrejesho pm na mm
Uhandsome huu naupenda! Ila tu avue hiyo suruali avae nyingine
Mmeloaaa kabisa.Uhandsome huu naupenda! Ila tu avue hiyo suruali avae nyingine
Bado sijaloa mkuuMmeloaaa kabisa.
Ukiloa niambie nikufate.Bado sijaloa mkuu
Kimbia fasta wewe..acha kuombaNaomba Nikufate pm