Mzee huwezi kubadilisha nature ya mtu zaidi utapata tabu sana hata huko mitaaniMkuu hao wanajilegeza wenyewe ndo hao tunakuja kupata nzao za mashoga .
.[emoji13] [emoji13] ww dume gani linalegeza jicho km jike
Hivi umemuona yule aliye kwenye swiming pool yaan kalegeza jicho km kakalia gogo sasa huyo nae ni mwanaume ...shit hole yule [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]asante ..halafu hii dhana yakusema wanaume wenye muonekano wa sura nzuri kuwa sio wanaume sijui wameitoa wapi ??
hapo hapo wakienda Kanisani na misikitini wanakubali kuwa YUSUPH SIJUI YOSEPH ALIKUWA NDIYE MWANAUME MZURI KULIKO WOTE KUWAHI KUTOKEA ..AJABU SANA AISEE
Sawa mkuunamsaport demiss mkuu
sisi ambao sio mahandsome ..tupo tupo tu
Hihihi imebidi nichekehahaa utapigwa ujue
[emoji1] [emoji1] mbona unaguna
ukishapigwa utanuna mkuuHihihi imebidi nicheke
zile sawa chief, lkn ss huyo na hilo fundo hapo nyuma kha![emoji23][emoji28][emoji23]hahaa waona kama amevaa dera au..mbona mashekhe na ma padree wanavaa magauni waliyoyapachika jina kwakuyaita KANZU
vipi kuhusu watu wa pwani na misuli ..inatofauti gani na zile under skirt ..hahaa
Nilikua nakusalimia tu mimi[emoji1] [emoji1] mbona unaguna
Mabwanga style na mm nikivaa kigaun cha kitengee [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]mmh! hizo culture zingine hapana kwakweli [emoji125][emoji125][emoji125]
hahaaaHivi umemuona yule aliye kwenye swiming pool yaan kalegeza jicho km kakalia gogo sasa huyo nae ni mwanaume ...shit hole yule [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Haya bhana ....ila hata ww kumbe hupendezwi na mwanaume anaejilemba na kujiweka km jikeMzee huwezi kubadilisha nature ya mtu zaidi utapata tabu sana hata huko mitaani
Nilikuwa na fikra kama hizi yaani namaindi hawa watu nilipogundua napoteza energy kwa negative things nilijiona mzembe sana
Bora kudeal na yako tu
Asante, uko poa lakini?Nilikua nakusalimia tu mimi
duuhhh huyo Jamaa mrefu mpka ukuta kaupita ..nahisi anauwezo wakuiona mpka kesho ..
Bwahahaahahahaja napita Kwa kuringaDemiss Sasa nimeamin hujui maana ya Handsome ... huwezi kuweka Picha za Wanaofanya Modeling za Mavazi ukasema ni Uhandsome !!.
Naomba kichwa cha habari kisomeke hivi
*UZI WA PICHA ZA WANAUME WANAOVAA VIZURI*. kinyume nahapo unafanya wanaume kama hawa[emoji116] [emoji116]tuonekane km sio kitu !!.