bila shaka ww ni Fezakessy (joking)
hahaaa daahh lile fundo sio La nchi hii metzile sawa chief, lkn ss huyo na hilo fundo hapo nyuma kha![emoji23][emoji28][emoji23]
Joke kwa kweli hii[emoji23]bila shaka ww ni Fezakessy (joking)
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Niko poa sana sijui wewe nawaona mahandsome mnajiuzisha suraAsante, uko poa lakini?
lol..sawa bhanaaMy future husband
Ahsante sana rafiki.Ingekua enzi zile za mapicha picha ningemwaga za kutosha ila siku hizi nadhan kamera yangu imeanza haribika hahaah
Usiku mwema pia my beautiful friend. Sweet dreams.
wapambane na hali zao tu MKUUBora ungeandika wa2 watume picha za Gentlemen ila hii kusema sura Nzuri kuna wa2 wanakerekaaaa kama wameshikwa Makaliooo
Aisee nimestuka sana kwakweli kukuta picha yangu humu bila ridhaa yanguNiko poa sana sijui wewe nawaona mahandsome mnajiuzisha sura
aiseeeee acheni masihara basiiii ..huyu Jamaa anafnya KAZI KIWI AU ??
Hb wa Nyanguge
hahaha lkn si n wewee eeh [emoji38][emoji38]Joke kwa kweli hii[emoji23]
Hahaaaaaaaaa[emoji13] [emoji13] [emoji13] weee jamaa ni noma yaan jamaa hua anapaka kiwiaiseeeee acheni masihara basiiii ..huyu Jamaa anafnya KAZI KIWI AU ??
Wroooong!hahaha lkn si nn wewee eeh [emoji38][emoji38]