likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
Ni kweli mkuu chamsingi tunza ndugu/jamaa/watoto wasikue katika maadili potofuHaya bhana ....ila hata ww kumbe hupendezwi na mwanaume anaejilemba na kujiweka km jike
Na wewe pia[emoji85] [emoji85]
AsanteeeMwanaume pesa sura Hata Mbuzi anayo [emoji85][emoji85][emoji3]
Imeandikwa Fedha ni jawabu la mambo yote [emoji108]
Kuna wanawake walioingia Kwenye mahusiano ya ndoa kwa kuangalia sura ya mwanaume Ili hali waume hao hawana pesa Hata ya kuweza kujikimu na familia Mwaka wa kwanza, wa pili n.k mwisho wa siku ndoa hizo zimeishia kivunjika kwa asili!
Rejea ndoa ya Madam Florah Mbasha, Joyce Kiria na wengine wengiiiii!
Wadada unapotaka kuolewa usianze kwa kuangalia sura ya mwanaume badala Yake angalia upendo, uaminifu, Ucha Mungu, uwezo wa kuweza kupata pesa ya kujikimu na familia n.k
Hahaha kibwebwe ni zile kanga watu wanafungaga kiunoni wakitaka kunengua[emoji23][emoji23]sana sana kwenye ngoma na vigodorohahaha sijui kibwebwe ndio nn lkn nimechekaa hahaha eti kibwebwe [emoji23][emoji28][emoji23]
na ss sijui anatembeaje hapoo
hahahaha aiseeHahaha kibwebwe ni zile kanga watu wanafungaga kiunoni wakitaka kunengua[emoji23][emoji23]sana sana kwenye ngoma na vigodoro
yani ss hapo nimekuelewa na ndo mule mule kabisa jamaa anafanana [emoji23][emoji28][emoji23] hapo anasubir mziki tu uanze hahaha....kibwebwe hahaha aiseeHahaha kibwebwe ni zile kanga watu wanafungaga kiunoni wakitaka kunengua[emoji23][emoji23]sana sana kwenye ngoma na vigodoro
Mama sabirinaaaHuu uzi nisipomkuta Mama Sabrina Dinazarde narudi kulala
Wapaka poda. ...wasugua kucha! wasugua uso!wala chips mayai!ndiyo mahendisome?ni vigumu kumuelewa mwanamke!Mwanaume ubeberu!ukakamavu![emoji12]
Sitaki kuamini kama hayupo acha nirudi kulalaMama sabirinaaa
Dinaaazardeeee
Huenda wanapambana na mahandsome kule upande wa pili
Hahaha kama namuona anavokata mauno wimbo wa Awilo coupe bibamba[emoji23]yani ss hapo nimekuelewa na ndo mule mule kabisa jamaa anafanana [emoji23][emoji28][emoji23] hapo anasubir mziki tu uanze hahaha....kibwebwe hahaha aisee
Hahahahahahaaaa aiseeeeehii picha yangu umeitoa wapi mkuu ..teehhe