Uzi wa masele chapombe na vituko vyake

mzalendo iq1

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2020
Posts
1,257
Reaction score
1,543
Wadau nadhani wote tunaijua konyagi ilivyo kuwa Kali ukinywa billa kuichanganya na maji lazima itakuangusha kwenye ngazi

Pia ustarabu wa Pombe unaweza kukufanya ukajiona wewe ndio mwamba unaweza kufanya kitu chochote na ndiomana tunaambiwa ukinywa Pombe ukalewa hutakiwi kutembea usiku wa manane sababu Kuna vibaka watakudhuru

Wadau wengine wanasema Pombe Sio chai tuwe Makini
 
Jukwaa gani hili, nimepotea au..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…