Uzi wa matajiri wa JF

Na wote humu wana magari+nyumba, ukitaka kuprove, nenda kuna uzi fulani hiv wa Magari naposema magari namaanisha zile ndinga kari sio passo,vitz,ist, raum, hawa wote wanazo izo za mil15+ .

Lazaidi humu watu wana elimu woooteee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wote humu wamefika chuo kikuu, mbaya zaid ama tuseme zuri zaid humu wote wanausoma huu Uzi wakiwa na uwakika wa kuingiza zaid ya 100k only per day[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Matajiri msifunge pm zenu jamani. Nakuja huko kuomba hela ya kwenda saloon jumamosi
 
Wakuu wenye mipene mjitokeze mtupe strategies zilizowafanya mtoboee kwenye haya maisha yaliyo jaa changamoto hadi mkazigeuza kuwa fulsa finally zikawa mibunda
 
Mpaka sasa matajiri wameamua kutunyima mbinu ata mawazo tu na sisi tutoboe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…