Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
wewe huwezi kukosa shida ipo kwetu wengine πHehehe napokea mialiko ndani Na nje ya nchi
Wozaaaaaaa π€ΈπΌββοΈπ€ΈπΌββοΈπ€ΈπΌββοΈπ€ΈπΌββοΈNakuja nakuja
Najua tarehe 25/12 umewahiwa plz consider me on 26/12 basiWozaaaaaaa [emoji2226][emoji2226][emoji2226][emoji2226]
πππππ nakojoaaaNajua tarehe 25/12 umewahiwa plz consider me on 26/12 basi
Hutojuta aisee nitahakikisha unarudi humu jamvini kutoa ushuhuda juu ya ukarimu ntakao kutendea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakojoaaa
Mim na wewe tena
Sawa nakuja babaaaHutojuta aisee nitahakikisha unarudi humu jamvini kutoa ushuhuda juu ya ukarimu ntakao kutendea
dogo kwani sinia moja la wali ni kubwa sana?Nyie watu wa buza mnakula sana sitaki mazoe na nyie
Noa meno sasa kutakua hivi siku hiyodogo kwani sinia moja la wali ni kubwa sana?
Toa lokesheni basi huu mwaliko wako umekaa kimtego mtegoEvelyn Salt acha roho mbaya ππ