Uzi wa mtu alikwenda Matui - Kiteto-Manyara na kukodi trekta halafu akaelekea maeneo ya Pwani kwa shughuli za kilimo zaidi

Uzi wa mtu alikwenda Matui - Kiteto-Manyara na kukodi trekta halafu akaelekea maeneo ya Pwani kwa shughuli za kilimo zaidi

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,174
Reaction score
5,658
Amani iwe juu yenu

Huu uzi kila nikiukumbuka hakika unanifikirisha sana, ni uzi wa jamaa mmoja ivi ambaye aliwaliza watu wengi kwenye forex, alikwenda Matui-Kiteto-Manyara kisha akakodi trekta afu akaelekea maeneo ya Pwani. Hakika kwa madai yake alitengeneza pesa za kutosha ndani ya mwezi mmoja.

Kuna kitu nataka nijifunze. Mwenye huo uzi naomba anisaidie.

By dimaa.
 
Nadhani unamaanisha uzi wa Jeff.
Yule mwamba humu JF alipashikwa majina mengi yakihusiana na utapeli.
 
Nadhani unamaanisha uzi wa Jeff.
Yule mwamba humu JF alipashikwa majina mengi yakihusiana na utapeli.
Ontario , huyu mwamba alikuwa hatari, ila mimi nilimkubali kwa upiganaji wake wa kimaisha .
 
Amani iwe juu yenu

Huu uzi kila nikiukumbuka hakika unanifikirisha sana, ni uzi wa jamaa mmoja ivi ambaye aliwaliza watu wengi kwenye forex, alikwenda Matui-Kiteto-Manyara kisha akakodi trekta afu akaelekea maeneo ya Pwani. Hakika kwa madai yake alitengeneza pesa za kutosha ndani ya mwezi mmoja.

Kuna kitu nataka nijifunze. Mwenye huo uzi naomba anisaidie.

By dimaa.
Ina maana ontario aliishia kuwa mkulima forex aliikimbia
 
Back
Top Bottom