Melxcom991
Senior Member
- Aug 2, 2021
- 101
- 115
Wakubwa nilikuw naomba kwa yeyote anayejuwa odoo ajaribu kunielewsh inavyofnya kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanangu ni mdogo, mama mdogo humuita odo na kaka yake humuita chuchu badala ya Yusuph!! Fafanua hii Odoo yako ni nini ?Wakubwa nilikuw naomba kwa yeyote anayejuwa odoo ajaribu kunielewsh inavyofnya kazi
Unataka ujue nini sasa kwenye odoo coz vipengele ni vingi and nadhani kama unataka ujifunze zaidi ungeenda pale Google utakuta mabandiko ambayo tayari yameshaelezea kwa undani zaidi, ila kwa kipengele kimoja kimoja tunaweza kukusaidia hapaWakubwa nilikuw naomba kwa yeyote anayejuwa odoo ajaribu kunielewsh inavyofnya kazi
Nikitu ghani hiyo
Odoo ndo nini
Kabla hamja comment kwenye uzi muwe mnaangalia kwanza jukwaa uzi ulipo.Mwanangu ni mdogo, mama mdogo humuita odo na kaka yake humuita chuchu badala ya Yusuph!! Fafanua hii Odoo yako ni nini ?
KwambaKabla hamja comment kwenye uzi muwe mnaangalia kwanza jukwaa uzi ulipo.
Kwa komenti ya msapinungu naweza nikakuelewa kwanini umeandika post hii. Lakini umekosea sana kumjumlisha Nyamwage na Cassnzoba kwenye jibu lako...!!! Huyu Melxcom991 mwenye uzi naye kwenye hiyo odoo kuna vitu hajui ndo anaviulizia, hao uliowajumlisha (nikiwemo mimi) hawajui chochote kuhusu hiyo odoo. Ulitakiwa uelezee tu hicho ni kitu gani. Hapa JF, kama kila mtu ataleta ujuwaji uliopo kwenye komenti yako, hakuna mtu atauliza kitu na kupata jibu la kumsaidia..!!!Kabla hamja comment kwenye uzi muwe mnaangalia kwanza jukwaa uzi ulipo.
COMMENT YA MAANA KABISAAA KWA MWAKA HUU MPYA 2025Kwa komenti ya msapinungu naweza nikakuelewa kwanini umeandika post hii. Lakini umekosea sana kumjumlisha Nyamwage na Cassnzoba kwenye jibu lako...!!! Huyu Melxcom991 mwenye uzi naye kwenye hiyo odoo kuna vitu hajui ndo anaviulizia, hao uliowajumlisha (nikiwemo mimi) hawajui chochote kuhusu hiyo odoo. Ulitakiwa uelezee tu hicho ni kitu gani. Hapa JF, kama kila mtu ataleta ujuwajuu uliopo kwenye komenti yako, hakuna mtu atauliza kitu la kupata jibu na kumsaidia..!!!