Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

Africa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
1,504
Reaction score
2,272
Habari wakuu!

Huu ni uzi wa vichwa vikali vya habari kuanzia mwaka wa 100 kuanzia leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41]

Usipite bure, weka kichwa cha habari unachoona kitatokea kwa miaka hiyo

Ili vizazi vije vione utabiri huu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

1. TAIFA STARS YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA KWA MARA YA KWANZA[emoji41][emoji41]

2.SIMBA SC YATWAA KOMBE LA KLABU BINGWA AFRICA KWA MARA YA TISA

3.TANZANIA YAUZA UMEME NCHI ZOTE ZA AFRICA MASHARIKI NA KATI

4.NI MARUFUKU KUINGIA KATIKATI YA JIJI LA DODOMA KAMA HUJAVAA SUTI[emoji41][emoji41]

5.YANGA SC YATWAA KOMBE LA SHIRIKISHO KWA MIKWAJU YA PENALTY DHIDI YA WYDAD ATHLETICS 5-4

6.WABUNGE WAKATAA KUPITISHA SHERIA YA KURUHUSU MAPENZI YA JINSIA MOJA KWA MARA YA 6 MFULULIZO

7.ZANZIBAR KISIWA BORA ZAIDI DUNIANI

8.WANAWAKE WARIDHIA KUOLEWA BILA MAHALI [emoji7][emoji7]

9.SOKO LA MAGARI MAPYA TANZANIA LASHUKA, V8 SASA INAUZWA 260,000/=

10. MAREKANI YAPOKEA MSAADA WA $16 BN KUTOKA SERIKALI YA TANZANIA [emoji1320][emoji1320]

Tuendelee........[emoji116][emoji116][emoji116]
 
Makao makuu ya Chama cha mapinduzi kuhamishiwa Chato
Habari wakuu!

Huu ni uzi wa vichwa vikali vya habari kuanzia mwaka wa 100 kuanzia leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41]

Usipite bure, weka kichwa cha habari unachoona kitatokea kwa miaka hiyo

Ili vizazi vije vione utabiri huu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

1. TAIFA STARS YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA KWA MARA YA KWANZA[emoji41][emoji41]

2.SIMBA SC YATWAA KOMBE LA KLABU BINGWA AFRICA KWA MARA YA TISA

3.TANZANIA YAUZA UMEME NCHI ZOTE ZA AFRICA MASHARIKI NA KATI

4.NI MARUFUKU KUINGIA KATIKATI YA JIJI LA DODOMA KAMA HUJAVAA SUTI[emoji41][emoji41]

5.YANGA SC YATWAA KOMBE LA SHIRIKISHO KWA MIKWAJU YA PENALTY DHIDI YA WYDAD ATHLETICS 5-4

6.WABUNGE WAKATAA KUPITISHA SHERIA YA KURUHUSU MAPENZI YA JINSIA MOJA KWA MARA YA 6 MFULULIZO

7.ZANZIBAR KISIWA BORA ZAIDI DUNIANI

8.WANAWAKE WARIDHIA KUOLEWA BILA MAHALI [emoji7][emoji7]

9.SOKO LA MAGARI MAPYA TANZANIA LASHUKA, V8 SASA INAUZWA 260,000/=

10. MAREKANI YAPOKEA MSAADA WA $16 BN KUTOKA SERIKALI YA TANZANIA [emoji1320][emoji1320]

Tuendelee........[emoji116][emoji116][emoji116]
 
Hahahah.....ngoja na mm nitoe yangu

C.E.O wa makampuni ya Droplex Industries aikopesha serikali ya Tanzania dolla milion 6 bila riba..., asema anahitaji kuwekeza zaidi kwenye kilimo na madawa ili kuweza kulitosheleza soko la Africa

[emoji23][emoji23][emoji23]uliza sasa huyo c.e.o ni naniii...., ni mimi hapaa....!!!! Leo niko mkavuuu sina kitu walahi ndoto hizii
 
Habari wakuu!

Huu ni uzi wa vichwa vikali vya habari kuanzia mwaka wa 100 kuanzia leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41]

Usipite bure, weka kichwa cha habari unachoona kitatokea kwa miaka hiyo

Ili vizazi vije vione utabiri huu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

1. TAIFA STARS YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA KWA MARA YA KWANZA[emoji41][emoji41]

2.SIMBA SC YATWAA KOMBE LA KLABU BINGWA AFRICA KWA MARA YA TISA

3.TANZANIA YAUZA UMEME NCHI ZOTE ZA AFRICA MASHARIKI NA KATI

4.NI MARUFUKU KUINGIA KATIKATI YA JIJI LA DODOMA KAMA HUJAVAA SUTI[emoji41][emoji41]

5.YANGA SC YATWAA KOMBE LA SHIRIKISHO KWA MIKWAJU YA PENALTY DHIDI YA WYDAD ATHLETICS 5-4

6.WABUNGE WAKATAA KUPITISHA SHERIA YA KURUHUSU MAPENZI YA JINSIA MOJA KWA MARA YA 6 MFULULIZO

7.ZANZIBAR KISIWA BORA ZAIDI DUNIANI

8.WANAWAKE WARIDHIA KUOLEWA BILA MAHALI [emoji7][emoji7]

9.SOKO LA MAGARI MAPYA TANZANIA LASHUKA, V8 SASA INAUZWA 260,000/=

10. MAREKANI YAPOKEA MSAADA WA $16 BN KUTOKA SERIKALI YA TANZANIA [emoji1320][emoji1320]

Tuendelee........[emoji116][emoji116][emoji116]
1) Tanzania yaipatia msaada WA kifedha Marekani ili kusaidia kuinua uchumi wa nchi hiyo unaodidimia.

2) Tanzania yatajwa kua mzalishaji mkubwa wa magari duniani.

3) Mgombea Urais wa CHADEMA apitwa bila kupingwa baada ya yule wa CCM kujitoa ili kuunga mkono juhudi za wa CHADEMA.

4) Club ya Simba yatwaa ubingwa wa ligi kuu kwa mara ya 60 mfululizo. Yanga yashindwa kupanda daraja kwenda ligi daraja la tatu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahah.....ngoja na mm nitoe yangu

C.E.O wa makampuni ya Droplex Industries aikopesha serikali ya Tanzania dolla milion 6 bila riba..., asema anahitaji kuwekeza zaidi kwenye kilimo na madawa ili kuweza kulitosheleza soko la Africa

[emoji23][emoji23][emoji23]uliza sasa huyo c.e.o ni naniii...., ni mimi hapaa....!!!! Leo niko mkavuuu sina kitu walahi ndoto hizii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1320]
1) Tanzania yaipatia msaada WA kifedha Marekani ili kusaidia kuinua uchumi wa nchi hiyo unaodidimia.

2) Tanzania yatajwa kua mzalishaji mkubwa wa magari duniani.

3) Mgombea Urais wa CHADEMA apitwa bila kupingwa baada ya yule wa CCM kujitoa ili kuunga mkono juhudi za wa CHADEMA.

4) Club ya Simba yatwaa ubingwa wa ligi kuu kwa mara ya 60 mfululizo. Yanga yashindwa kupanda daraja kwenda ligi daraja la tatu.
 
Dar es salaam yakumbwa na sunam watu wote wafaliki dunia baada ya kukithir kwa ushogo...
Tanzania yaiwekea vikwazo vipya marekani baada ya kuruhusu wakimbizi wengi kuhamia tanzania
 
1) Tanzania yaipatia msaada WA kifedha Marekani ili kusaidia kuinua uchumi wa nchi hiyo unaodidimia.

2) Tanzania yatajwa kua mzalishaji mkubwa wa magari duniani.

3) Mgombea Urais wa CHADEMA apitwa bila kupingwa baada ya yule wa CCM kujitoa ili kuunga mkono juhudi za wa CHADEMA.

4) Club ya Simba yatwaa ubingwa wa ligi kuu kwa mara ya 60 mfululizo. Yanga yashindwa kupanda daraja kwenda ligi daraja la tatu.
Namba 4 hiyo lazima itokee
 
Back
Top Bottom