Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Maparachichi oyeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa ambao hawajui,
Parachichi ndiyo tunda namba tatu bora kwa afya la muda wote.Namba moja ni apple na namba mbili ni ndizi.
View attachment 1895227View attachment 1895228
Kujifunza kunywa maziwa huku unakula sembe ni sawa na kujifunza kuvaa nguo safi huku hutaki kuoga na hutaki kabisa kusikia juu ya maji!🤡🤡🤡Najifunza kunywa maziwaView attachment 1898740
Salad for days?View attachment 1897055
Late Lunch
Salad for days?
Unamaanisha kuwa Sembe ndiyo kila kitu juu ya gonjwa la bawasiri?🤡🤡🤡
Kwani mimi naelekeza watu wale dona lenye vumbi?Maelekezo yangu ni kwamba watu waandae mahindi yao nyumbani vizuri ikiwa ni pamoja na kuyaosha kwa maji safi halafu wakayasage wao wenyewe.Kitu kizuri ni gharama.Unaota mzeeeeew naona una ka kampeni Kako ka Dona Toka muda Dona inamadhara makubwa kuliko sembe kama unaweza elewa uelewe
Dona Ina Kansas inaayotokana na vumbi mzeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanisimanga Kuna jirani yangu jana ameniahidi kunifundisha ule ugali wako unaoupenda.Kujifunza kunywa maziwa huku unakula sembe ni sawa na kujifunza kuvaa nguo safi huku hutaki kuoga na hutaki kabisa kusikia juu ya maji![emoji1782][emoji1782][emoji1782]
Kwani mimi naelekeza watu wale dona lenye vumbi?Maelekezo yangu ni kwamba watu waandae mahindi yao nyumbani vizuri ikiwa ni pamoja na kuyaosha kwa maji safi halafu wakayasage wao wenyewe.Kitu kizuri ni gharama.
Unanisimanga Kuna jirani yangu jana ameniahidi kunifundisha ule ugali wako unaoupenda.
Anachanganya mhongo,mtama,mahindi.
Alinionjesha , akasema nisisage tena sembe[emoji23]..na mm nina sembe la kutosha [emoji38]
[emoji23]napenda ugali wa mhogo ila kupika siwezi, unakua na mabuje hadi hauliki
Hongera yako mdada mpole.nishazoea kufanya hivi sinunuagi Sembe dukani, tabu nikienda ugenini huwa naona nakula ugali tofauti kabisa
Hilo sembe lako la kutosha kalimwage halafu ungana na huyo jirani yako.Ukilimwaga hilo Sembe lako la kutosha utapata faida kuliko hasara,niamini mimi😍😍😍Unanisimanga Kuna jirani yangu jana ameniahidi kunifundisha ule ugali wako unaoupenda.
Anachanganya mhongo,mtama,mahindi.
Alinionjesha , akasema nisisage tena sembe[emoji23]..na mm nina sembe la kutosha [emoji38]
Namwaga unga mifuko miwili[emoji38]Hilo sembe lako la kutosha kalimwage halafu ungana na huyo jirani yako.Ukilimwaga hilo Sembe lako la kutosha utapata faida kuliko hasara,niamini mimi[emoji7][emoji7][emoji7]
Hata kama ingekuwa ni mifuko mitano ni kumwaga tu kwa sababu faida ni kubwa kuliko hasara😄😄😄Namwaga unga mifuko miwili[emoji38]
Acha utani.