Ntakulipa[emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] nilijua mko Gamboshi
Yummy yummy
Muda utaongea, unajua vitu vyangu wewe, au nirudie hii sasa sifa! Part3?Haha nasubiri
Wapi nyama mama,pilau bila nyama ni sawa na soda bila sukar
Wapi nyama mama,pilau bila nyama ni sawa na soda bila sukar
Muda utaongea, unajua vitu vyangu wewe, au nirudie hii sasa sifa! Part3?
Ngoja nikukumbushe kidogo[emoji39] [emoji39] [emoji39]Haha nimeimiss ile hashtag aisee
. mambo ya chamdeko hayaWapendwa, karibuni cha muda huu huu[emoji91] [emoji91] View attachment 719365
Hilo harage na niloweka mimi ni tofauti kabisa, yaani hilo la kwangu unaweza kugeuza hadi kibakuli na halimwagiki, kitu nazi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]. mambo ya chamdeko hayaView attachment 719379
Hayo hapoUzi huu unachochea appetite ya kula sana.....hapa nilipo kg zimeongezeka kwa kasi ya mwendo kasi mjitahidi muwe mnapost makande, dagaa kwa wingi ili tuwe sawa kah
Blaza,..huwez amin,sjala harage nna mda af ndo mboga nayoipenda asee,...yan hapa mate yamedondoka,sasa hapo ongeza kachumbar na pilipil *****Wapendwa, karibuni cha muda huu huu[emoji91] [emoji91] View attachment 719365
Sipendi kande,sipendiiiii,..yaan hata uweke kuku ndan,Hayo hapo
Dagaa badaeView attachment 719384