Naked Security
JF-Expert Member
- Jan 25, 2018
- 207
- 150
Ndio ubwabwa huoHiyo sahani hapo..huo ni ubwabwa? [emoji12]
Hahahahaha unajifanya hujui ubweche
Vitumbua sivipendiiiWapendwa, karibuni chai ya mwanaume wa Dar[emoji13] [emoji13] [emoji124] [emoji125] [emoji125] View attachment 721094
Glory glory glory...
Ugali saizi[emoji23]
Mgodini sasa hivi ugali tena tumechelewa.....Ugali saizi[emoji23]
Mkuu wewe mashine kubwa. Nakutunuku nyota 5Mkuu achaxutani bana, vitumbua 20 ndio unaonda vingi? Hapa tayari nishavimaliza, nikagonga na yai nimeshushia na maji ya bariiiidi, hapa nilipo sahv nimekunja 4[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] una maneno wew...... Mc u[emoji6]Hivi mpenzi wangu karrythas bado kachukuliwa na lile jamaa tu?!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] una maneno wew...... Mc u[emoji6]
Nakuja[emoji39]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hapana......Ndio unaachiwa leo si wametafuna mpk mifupa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hapana......
Njoo wew..... Usisahau juice baridiNjoo pm nisikie japo sauti yako
Coca ni sumu......
Coca ni sumu......
Coca 1 tuu chaliHahahahahaha ukinywa lita elf ngap unakufa?!
Coca 1 tuu chali