Uzi wa vyakula tu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulizidisha moto???

Ni ngumu kukadiria moto wa chini..ila wa juu ni rahisi maana unachungulia tu,na una adjust upendavyo.
Nahisi nilizidisha moto wa chini. Maana ilitoka chini imeungua kama mkaa 🤣. Ila juu Sasa nzurii. Hadi birthday ya mwanangu ikaharibika, Kwa kujifanya ujuaji. Ningeenda nunua hata yasingenitokea 😅🙆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…