[emoji39][emoji39]Lunch inspo kutoka Instagram. Hapo natoa mlenda View attachment 2453679
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakula kila kitu, nikiambiwa nitoe kimoja natoa hizo nyamaLunch inspo kutoka Instagram. Hapo natoa mlenda View attachment 2453679
Sent using Jamii Forums mobile app
GrenadeVirutubishiView attachment 2449899
Nzuri sana kawali kadogo na mboga 👏🏾👏🏾👏🏾
Mazee tusile sana wanga kwa wingi...tujitahidi kua na nidhamu na msosi
Bona hapo na protein IPO?Mazee tusile sana wanga kwa wingi...tujitahidi kua na nidhamu na msosi
Bona hapo na protein IPO?
Dada kama hujaolewa naomba nikupropose
Dada kama hujaolewa naomba nikupropose
Zaidi ya sana...napendelea mno iwe na mchemsho wa samaki ....Huhuu unapenda chapati eee
UjaaliweZaidi ya sana...napendelea mno iwe na mchemsho wa samaki ....
Mkono wako?