Uzi wa vyakula tu

Sawa
Mimi huwa natupa moyo, mapafu nachukua maini pekee

Hebu nisaidie tuone
Vyote vinaliwa kwa mapishi sawa tu,moyo unaweza ukatrim yale mafuta kandokando na mapafu.
Huwa tu nakata ndogo kiasi marinate na garlic tangawizi ,soya vinegar au ndimu curry powder kwa mbali.
Unga kiduchu, kasukari kwa mbaali.
Funika 1 hour au overnight..
Ukitoka hapo ni kuichaaraza moto mkali kwenye mafuta tu unatupiaa kitunguu tu.
Ila ukitaka mboga zingiwe wewe tu.
Unastir fry chap mpk ile majimaji yanakatika
Badae, soya vinegar tena kidogo inaisha hiyo.
Ugali uwe tayari maana hiyo ikitoka motoni ni kuliwa tu chap isipoe.
Jaribu hiyo ukishindwa kuna mchemsho wake easy tu.
 
Faida Za Kutumia Tangawizi[emoji262]

[emoji2791]Tangawizi ni Zao Ambalo Hutumika Kama Kiungo Katika Chakula na Unga wake Hutumika Katika Vinywaji Kama Juisi,Chai na Katika Chai Pia

Tangawizi Iliorodheshwa na Serikali Ya Marekani Kama Dawa Kwa Ajili Ya Binadamu Mwaka 1873
 
Vitamini na Madini Yalimo Kwenye Tangawizi
[emoji92]Vitamini B3 (Niacin) na B6 (Pyridoxine)
[emoji92]Madini ya Chuma (Iron)
[emoji92]Madini ya Potassium na Sodiamu
[emoji92]Madini ya Magnesium
[emoji92]Vitamini C
[emoji92]Madini ya Phosphorus
[emoji92]Madini ya Zink
[emoji92]Vitamini B complex,A,E
[emoji92]Madini ya Calcium na Carotene
 
FAIDA

[emoji95]Huondoa Sumu Kwa Haraka Sana Mwilini
[emoji95]Huondoa Uvimbe Mwilini
[emoji95]Huua Vimelea Mbalimbali vya Magonjwa na Mayai Yake
[emoji95]Huondoa Maumivu ya Koo
[emoji95]Huua Bakteria Wa Aina Nyingi Mwilini Hata Bakteria Anayesababisha Taifodi
[emoji95]Huondoa Maumivu Mbalimbali mwilini
 
[emoji95]Huondoa Homa Baridi(chilla)
[emoji95]Hutibu Saratani Ya Tezi Dume.
-Tangawizi Huua Enzyme ya 5-LO Ambayo Huwa ni Chakula Cha Seli za Kansa ya Tezi Dume na Kupelekea seli za Kansa Kufa
[emoji95]Husaidia Kuzuia Shambulio la Moyo
[emoji95]Hushusha Kolestero(cholesterol)
[emoji95]Hutibu Shindikizi la Juu la damu(hypertension)
[emoji95]Husafisha Damu
[emoji95]Huzuia Damu Kuganda
[emoji95]Huongeza Msukumo wa Damu
[emoji95]Husaidia Kuzuia na Kutibu Kansa ya Titi
[emoji95]Husaidia Kutibu Kansa ya Mapafu
[emoji95]Hutibu kansa ya Kizazi na Kwenye mirija Ya Kizazi
[emoji95]Huzuia Kujizalisha Kwa Bakteria Anayesababisha Madonda ya Tumbo
[emoji95]Ni Dawa Nzuri Kwa Kansa Ya Damu
[emoji95]Huzuia Kuongezeka Kwa Seli za Kansa ya Kongosho
[emoji95]Huondoa Gesi Tumboni Kiurahisi na Kwa Haraka Zaidi
[emoji95]Ni Dawa Nzuri Kwa Kuondoa Hangover na Uchovu
[emoji95] Husaidia Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula
[emoji95]Huondoa na Kunguza Msituko kwenye Utumbo Mpana[emoji95]
 
[emoji95]Husaidia Kuongeza Kinga Ya mwili
[emoji95]Husafisha Utumbo Mpana
[emoji95]Hutimu Tatzo la Kupata Choo Kwa Shida na Husaidia Kutibu Kansa Zinazosababisha Kupata Choo Kigumu Kwa Mda Mrefu
[emoji95]Hulinda Mishipa ya Damu
[emoji95]Husaidia Kuongeza Afya ya Nywele,Ngozi,Kucha na Meno
[emoji95]Hutuliza Dalili za Pumu
 
MATUMIZI TANGAWIZI

[emoji262]Unaweza kutumia kama Kiungo Katika Chai
[emoji262]Unaweza Kuchanganya Kwwnye Juisi ya Kutengeneza mfano Parachichi ,Embe N.K
[emoji262]Unaweza Kuchanganya Unga Wake Kwenye Maziwa au Asali
[emoji262]Unaweza Kutafuna Ikiwa Mbichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…