Dah minyoo yangu inateseka tumboniKienyeji enyeji tu, karibuni.View attachment 754676View attachment 754678
Watu wanakula mboga tu mkuuChakula kidogo mboga nyingi,hapo ubwabwa uongezwe
Mkuu, mbona kwenye mkeka? Ulienda kusalimia kijijini nini?
Mchuzi wa supu bhana ukiwa na rangi kama hiyo huwa unakuwaga mtamu saaana.[emoji8][emoji8]View attachment 747166
Kande hata zitiwe nazi 7 au 8 mimi SILI. Heri nichemshe viazi nikate na kachumbari nile ila sio kande, kande ninazichukia vibaya saana.Nakuunga mkono. Kande ni chakula Cha hovyo kwa mtazamo wangu tokea dunia iumbwe. Mara ya mwisho kula kande ni 2005. Tena nilikula vijiko 2 tu
Na siku akioa atakondaUnankumbusha jamaa yangu nlisoma naye sekondari. Yeye alikuwa hana stori za mpira, mademu, shule wala nini ni MISOSI tu na good time za milo alizowahi kuwa nazo before baas. Hadi leo akiwa mhasibu wa taasisi kubwa tu KULA ndio jambo pekee linalomgusa maishani na hajaoa.
Hamna kuna kaupepo mwanan hapo,,,Mkuu, mbona kwenye mkeka? Ulienda kusalimia kijijini nini?
Mme wangu Mshana Jr loohView attachment 750986
Hii ndo tunaita breakfast..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Leo chef ni mimi mwenyewe kiepe yaiView attachment 757975