Uzi wa vyakula tu

Je sisi tunaotaka kupungua tufanyeje jamani ni vyakula gani tunapaswa kuzingatia hasa kwenye ulaji wetu wa kila siku!!
 
Fasting ndo nini
Usiku unapika mboga mboga tu zile
Changanya brocoli,kabichi hoho carrots nk

Kula na matunda tu.


Halafu unakuwa unafast.
Unafunga yaani Kuna siku hili chochote kutwa nzima,Unakula usiku tu.


Kuna diet Fulani wanaita diet ya mauaji ,itest Ile.
Ndani ya miezi miwili tu utaona matokeo.
 
Nipe maelekezo boss wangu uzito umenielemea vip kwani samaki nao wanaongeza uzito madam

Mafano akama nakula samakinwa kuchemsha labda na ndizi za kuchemsha mbili tu kila siku asubuhi na jion vip apo nawepa kupata matoke mazuri madamu
 
Na pia tunaomba kuifahamu iyo diet ya mauwaji ikoje ili na sisi tuijadili angalau tuweze kupata nguo nzuri za kuvaa maana daah mtu unavaa nguo unafanana na gunia asee
 
Nipe maelekezo boss wangu uzito umenielemea vip kwani samaki nao wanaongeza uzito madam

Mafano akama nakula samakinwa kuchemsha labda na ndizi za kuchemsha mbili tu kila siku asubuhi na jion vip apo nawepa kupata matoke mazuri madamu
Michemsho ni mizuri pia

Ila ukitaka matokeo ya haraka kula matunda tu.


Sasahivi tunaenda Kwaresma kwa Wakristo
Na Ramadhan sijui wanaanza lini.

Hivi vipindi ni vizuri sana kwa kulose weight
Jaribu uwe unafast.

Anza taratibu unafast siku 1,I unaruka
Hivyohivyo
Baadaye ukizoea unakuwa unafast mfululizo hata wiki


Tumbo na manyama uzembe yote yanapotea.
 
Na pia tunaomba kuifahamu iyo diet ya mauwaji ikoje ili na sisi tuijadili angalau tuweze kupata nguo nzuri za kuvaa maana daah mtu unavaa nguo unafanana na gunia asee
Iliwahi tumwa humu
Sikumbuki ni kipindi cha nyuma kidogo.

Ngoja wanaoitumia watakuja[emoji120]
 

Hamna hatari ya madonda ya tumbo kweli hapo??
 
Hamna hatari ya madonda ya tumbo kweli hapo??
Hamna
Ukihofia mapema kuwa utayapata na utayapata kweli.


Mimi huwa mafunga kwa ajili ya maombi,na sijawahi kuumwa vidonda vya tumbo kwa sababu ya kufunga.
Ila usiku huwa nahakikisha nimekula chakula cha kutosha na kunywa maji ya kutosha.
Wiki moja tu kilo zinakatika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…