Bonge 😂😂😂Kwa mpemba ilala..2
View attachment 2542769
Home made, hapo umekosekana mboga ya majani tu [emoji39][emoji112]
Home made, hapo umekosekana mboga ya majani tu [emoji39]
Hii kitu kuna mda mtu unataka unafika unaikuta ndo inatolewa unachukua mapande yako nyama nyingi ugali kiduchu unatandika unarudi kwenu huna hamu😋
Hivi utaweza kula Doriani kweli!? [emoji2365][emoji2365][emoji2365]
Pole sanaNimelipewa nimeshindw kabisa kulila
View attachment 2543657
[emoji1483][emoji1483][emoji1483]
Yana shombo fulani amazing km mafenesi.Nimelipewa nimeshindw kabisa kulila
Wali ndondo cup, hii mechi huwa sijawai kuelewa.
Hii suprise bi mkubwa😁😋
Ugali malizia tuanze kupiga magoli.Wapenda dagaa
Wekundu wataitwaje blue fish?Wanaitwa blue fish