[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji114][emoji114][emoji72]Halafu wanavyodekezana wananifanya nimkumbuke my x[emoji24] [emoji24]
Utanigaia na mm ukiletewa,njoo pm nikupe mawasilianoMimi huwa naletewa ofisini...ila kwa hapo hotelin sijui walikitoa wapi
Nimehamia mkoani mkuu.Utanigaia na mm ukiletewa,njoo pm nikupe mawasiliano
Hata Mm sio mwanaume wa dar mkuu,hvyo usiogopeNimehamia mkoani mkuu.
Bakuli ya mchuzi imekaaje?View attachment 766828 mambo ya mkia
Wa mikoani hapana bora ungekua wa Dar[emoji23][emoji23]Hata Mm sio mwanaume wa dar mkuu,hvyo usiogope
[emoji39] [emoji39]
Jiachie banah maisha yenyewe ni mafupi kula kitu roho inapenda yam yam,
Hahah nimetania tu me wa dar bhana [emoji23]Wa mikoani hapana bora ungekua wa Dar[emoji23][emoji23]
Punguza mkuu. Huku ni kuoneana tu
Sasa mbona mkono wenye tonge umeficha mbogaLast NightView attachment 771079