Uzi wa vyakula tu

Eee haraka haraka nisikosea zahanat ya kijiji ikaniponza
Ila kibembe na mjomba wake wananichekesha sanaa hawapatanii dada mtu inabidi amtetee mdogo wake [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe mama Mwazani shida yake ni njaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo maana anamtarget Ombeni

Eti nyota yako mwanangu naiona Kwa yule daktari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi napenda mahaba ya Masalu Kwa Tausi[emoji1787]
Li Masalu lina wivu hadi basi.


Shost, huku watatufukuza na hizi mada[emoji2096]
 
😂😂😂😂😂 banaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…