Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Uliweka haraka haraka kwa mpigoNimezidisha unga
Eee haraka haraka nisikosea zahanat ya kijiji ikaniponzaUliweka haraka haraka kwa mpigo
Za kudownload hazileti ule uhalisia kabisaKweli jamaa mpk anaboa mnoo
Kumbe mama Mwazani shida yake ni njaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eee haraka haraka nisikosea zahanat ya kijiji ikaniponza
Ila kibembe na mjomba wake wananichekesha sanaa hawapatanii dada mtu inabidi amtetee mdogo wake [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂 banaaaaKumbe mama Mwazani shida yake ni njaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo maana anamtarget Ombeni
Eti nyota yako mwanangu naiona Kwa yule daktari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi napenda mahaba ya Masalu Kwa Tausi[emoji1787]
Li Masalu lina wivu hadi basi.
Shost, huku watatufukuza na hizi mada[emoji2096]
Nimefululiza kula chips
Katumbo kamechomoza
Aibu
[emoji276][emoji19]