Napaswa kuachaPunguza tu kidogo
Mbona chakula kidogo mkuuMrejesho ni kwamba nilimaliza msosi wote na nikaongeza wali kidogo kusakafiaView attachment 2569745
Kama mimi, wali wa kuchambuka hua siupendi, napenda wali unaoenda kwenye bokoko hata kutafuna inakua rahis na unakua mtamuI guess so....
Huwa nakula hvyo mara moja mojaMbona chakula kidogo mkuu
Asante mama mia😋
Aisee wengine sijui tumelogwa wapiMrejesho ni kwamba nilimaliza msosi wote na nikaongeza wali kidogo kusakafiaView attachment 2569745
Eeeiiiisshh walaaan [emoji39][emoji1666][emoji91]