Utalaliaje juisi wakati ulipiga msosi wa maana hapa
Nilikula jioni jioni saa 11 sema nilichelewa kuishusha picha hapaUtalaliaje juisi wakati ulipiga msosi wa maana hapa
[emoji23][emoji23]da mrembo anapika uyo kama dunia inaisha kesho asubuhiLiving Pablo kaka unakwama wap
Lini niwakaribishe lunch we na Living Pablo 🙂Living Pablo kaka unakwama wap
Aise ningekua dar ningeshakaribia muda sanaLini niwakaribishe lunch we na Living Pablo 🙂
Tahadhari kubwa ... mboga za majani siku hizi zinawekwa kemikali halafu zinachangamka na kuonekana ziko fresh...View attachment 2570636
Mbaazi na nini mama? Dagaa hizo?
Yap kwaresma ,eid mfungo unakunywa tu hiyo inatoshaMade by myself kwa usiku wa Leo acha tu nilalie hii.View attachment 2571467
Hapo ushinde jirani na choo😁😋
[emoji39][emoji39]iyo siku itabidi utoe tu order ya mahitaji tunafika nayo.Lini niwakaribishe lunch we na Living Pablo [emoji846]
[emoji4]Naam jogoo kubwa kabisa, Sema ndo ivyo we upo Mza me Ruvuma.Aise ningekua dar ningeshakaribia muda sana
Ningeleta jogoo mkubwa kabsa utupikie kwa namna unavyoona ww
Bwana ni mwema sana ,tutakutana chief ...[emoji4]Naam jogoo kubwa kabisa, Sema ndo ivyo we upo Mza me Ruvuma.