Hizo chokoro umepika mwenyewe
YapHizo chokoro umepika mwenyewe
Dooh 🙌🏻🙌🏻🙌🏻Hongera
😁Dooh 🙌🏻🙌🏻🙌🏻Hongera
Siipend hiyo mboga 😀😀😀😀
Hujalazimishwa uile sasaSiipend hiyo mboga 😀😀😀😀
Nataman mlazimisha kila mtu asiipende 😅😅😅Hujalazimishwa uile sasa
Tumetofautiana mkuu 😆😆Nataman mlazimisha kila mtu asiipende 😅😅😅
Tuko wengi 😅😅😀😀😀😀nilidhani peke angu ndo nafanyaga diet babaishi
Hautuwezi!!!!Nataman mlazimisha kila mtu asiipende 😅😅😅
Jumapili nakuuuula 😅😅Tuko wengi 😅😅
Mf unipe hizo ndizi zako na pilau....lazima tumbo liniume kidogo. 🤔
Yaani naelewa basi tu😅Tumetofautiana mkuu 😆😆
[emoji2][emoji2]hivi kipimo iko cha msosi kinafanikiwa kweli kufika kwenye tumbo au kinaishia kwenye Utumbo tu??
Kinaishia juu juu ila ndo nimeshajizoesha.☺️[emoji2][emoji2]hivi kipimo iko cha msosi kinafanikiwa kweli kufika kwenye tumbo au kinaishia kwenye Utumbo tu??
Asee me nikila icho nahisi ntaongeza njaa tu.Kinaishia juu juu ila ndo nimeshajizoesha.[emoji3526]
Kwa mwanaume kwakweli hapana....Asee me nikila icho nahisi ntaongeza njaa tu.
We Mwanamke wazazi wako walifanya kazi kubwa sana. Unaimudu vizuri familia yako, Mungu akubariki sana na akuzidishie baraka.