Shafika kipenzi kudoea😋
Ulishafikiria endapo kila mtu angekuwa na shamba na kapanda kila zao, hivyo hahitaji kununua?Vitu ambavyo daslam tunapimiwa home sweet home karibuni tuvune alizeti,karanga,mahindi,mtama.View attachment 2653701View attachment 2653702
Kweli mkuu.Ulishafikiria endapo kila mtu angekuwa na shamba na kapanda kila zao, hivyo hahitaji kununua?
Duniani twategemeana, hakuna wakulima bila walaji na hakuna walaji bila wakulima, twategemeana sana
[emoji2957]
Karibuuu[emoji2957]
Asante nakuja chap [emoji3526]Karibuuu
Hii nana mision nayo kesho mamy leo imeshindikana. vyombo