Acha dharau dogoDar hadi uende supermarket.View attachment 2663433
Kwani uongo.Acha dharau dogo
Kwanza jifunze kutengeneza chakula katika mazingira safi.Kwani uongo.
Hapa weka misosi tu no longo longo.Kwanza jifunze kutengeneza chakula katika mazingira safi.
Dar super market ukafate mapapai?
We baki huko huko shamba
Matunda yamejaa hata barabarani WAHA wanayauza
[emoji2][emoji2][emoji3]ebhana weeeeeeee daahNdugu zangu ambao hamiagi hii kitu mnisamehe.View attachment 2663405View attachment 2663406
Huyu ni chura au [emoji15]Good afternoon. View attachment 2664299
Ndio
Wee nae ni mnyaki?
🤣🤣🤣🤣Wee nae ni mnyaki?
Ramen,
Food pyramid hiyoForm kitchen View attachment 2666653
Naomba hatua za kupika mlenda wa majani ya maboga na bamiaNatumia
Sweet red pepper powder
Curry powder
Coriender
Tangawizi
Bay leaves/Rosemary
Nimejifunza pia kupika Himalayan pink salt
Naona ina kaladha fulani hivi
Kitunguu maji,karanga na nazi kiduchu nusu kwa nusu.Naomba hatua za kupika mlenda wa majani ya maboga na bamia