Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nitajitahidi jamani...
Hiyo yenyewe nilishinikizwa tu...mimi huwa siyo mpenzi kabisa..
Unajua kulipika vizuri?
Ningependa unifundishe maana hua haliivi.Saaanaaaa
Kwanini unafanya hivyo?nimeshakazia na maji kabisa, hapo mpaka kesho tena nimeshiba sana
ni leo tu usijali, tunaita pasi ndefu...Kwanini unafanya hivyo?
Anhaa, pole.ni leo tu usijali, tunaita pasi ndefu...
afu nilikua na hamu ya mihogo
Mbona chakula kingi sana hicho
Njooni tule View attachment 2731446
Karibu MkuuDaaah[emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu Mkuu
UtaongezaAsante sana kidogo hakitoshi