😂😂 chips kavu ina ubaya gani mpaka usiile? Usijinyime emu..Juzi wikiendi nilitolewa out na mama watoto akanilazimisha kula viazi vilivyokaangwa..nikavunja principles zangu maana najifanyaga silagichipsi
NI aina ya vyakula vinavyoongeza kiasi kikubwa cha mafuta mwilini😂😂 chips kavu ina ubaya gani mpaka usiile? Usijinyime emu..
Wasiwasi wako tu 🤪NI aina ya vyakula vinavyoongeza kiasi kikubwa cha mafuta mwilini
Niamini mmWasiwasi wako tu 🤪
Chukua LGWakuu, good evening.
Jiko kubwa la oven, 3 gas 1 electric, electric oven brand gani ni nzuri?
Esp size 50* 55.
LG nina hela sasa? Budget yangu ni 650K
YummyPishi langu mwenyeweView attachment 2764602View attachment 2764603
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeupiga mwingiii mkuu.Pishi langu mwenyeweView attachment 2764602View attachment 2764603
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakupa mrejesho..
Inatosha sana. Ingia kkoo au nenda kwenye forum ya matangazo madogomadogo. (Sijui kucopy thread) kule kuna mtu anauza electrical appliances utampataLG nina hela sasa? Budget yangu ni 650K
Wako njema sana ni wajerumani nina freezer yao acha kabisaNitakupa mrejesho..
Kuna haka ka brand ka kuitwa bruhm, unakapata pata?
Hvyo viazi vyote ulimaliza?Pishi langu mwenyeweView attachment 2764602View attachment 2764603
Sent using Jamii Forums mobile app