Hapana mkuu mimi ni mzee wa masotojo yaani kwa kila mboga yangu sitaki ikose nyanya chungu,nyanya,karoti,hoho, onion, na bamia au biringanyaKuna jamaa Itscharlie ndege JOHN sijui na nani aisee Hawa majamaa wanakula walii Kila siku Kila mlo
Nisamehe mkuu ntakua nimekuchanganya sijui na member Gani? Ila Itscharlie Nina uhakika nae, ana pacha wake sijui nani aisee Hawa raia kwenye wali(ubweche) huwaambii kitu aiseeHapana mkuu mimi ni mzee wa masotojo yaani kwa kila mboga yangu sitaki ikose nyanya chungu,nyanya,karoti,hoho, onion, na bamia au biringanya
unajua sana we jamaa
Kuna jamaa Itscharlie ndege JOHN sijui na nani aisee Hawa majamaa wanakula walii Kila siku Kila mlo
Oya naitaji Love chief iyo😆chakula ya nyumbaniTupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee tupia tuu kiwe kibaya au kizuri leta tu hapa, tuwatamanishe watoke miudenda wale kulakula[emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 566179View attachment 566180
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume unakula ubwabwa huo sini umama unatafuta choo kigumu😆