CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Hapo bado chumvi[emoji7]
Ukizoom vizuri punje punje za chumvi unaziona ππHapo bado chumvi[emoji7]
Nimeenda kuzoomUkizoom vizuri punje punje za chumvi unaziona [emoji39][emoji39]
Nimeenda kuzoom
Hapo sasa embe limekamilima.
Mate yamenijaa.
Huku vijijini tunachumia tu maembe kwenye mitiAahahahaha msimu umeanza.
Unaenda sokoni unaunua pakti ya pilipili unga nunua maembe yako hayo ya kula na pilipili hata 10rudi nayo nyumbani unakula moja moja na pilipili huku unachanganya na chumvi uwiano unaotaka.
Kabla hayajaisha au yakibaki 2 unaenda tena sokoni kununua mengine 10.
Raha jipe mwenyeweee ππ.
Huku vijijini tunachumia tu maembe kwenye miti
Mzee kashapiga mwendokasiππ
TushazoeaπMweeh, tutahamiamo huko chijijini mnafaidi.... ππππ
Anayejua namna ya kuandaa veggie nyumban.
makolokolo ya kuweka
Nikila kama kule cape town fish market nashindwa kuhamishia ladha kwangu
z-=?'?x?f'xx'?x-?xd6?x??z''6?fffxfxfftfftfffdx'x'?zx[emoji343][emoji343]ff?ffdffrfftffcttftffftc?yyy7yuyuhyhhy7yyyyyyyyy7yydΔbryhy?yyg76y?gzy7tfxt Γ§Ε₯f??weeee zombiiiii
simba la masimba dangote
maembe ya kienyeji jau, nyuzi zinabaki kwenye menoView attachment 2810774
Hizi mbegu za kisasa unakula rangi tuu....ππ
Ladha hakuna kabisa kama gunzi vile.....ππ
maembe ya kienyeji jau, nyuzi zinabaki kwenye meno