Halafu unakuta wewe ni ME ila hakuna ubaya mkuuCake ya kupewa sinikapewa kipande chenye jina.
Halafu unakuta wewe ni ME ila hakuna ubaya mkuu
mbona kama kuku wa kienyeji😋
Hivi unaondoaje shombo kwenye samaki wa kuchemsha?
Nilishindwaga kula wali ulio pikiwa mafuta mafuta ya n'gombe..Samli? naomba unielekeze hayo mafuta ya ng'ombe umeyapata wapi
Kamulia limao weka hoho,karoti,kitunguuHivi unaondoaje shombo kwenye samaki wa kuchemsha?
Village pale opposite. Kuna ka food point kapya.mbona kama kuku wa kienyeji😋
wapi hiyo
unaandaa jambo baya sana hapo