mideko hujawahi kuniangusha.
Nakula kwa macho
dokta......sasa ndo mambo gani sasa hayo!
whitemoney mwenzio naogopa kukolezea kitambi πdokta......sasa ndo mabo gani sasa hayo!
utashiba kweli?
we humuoni mideko,hata hajibani
kwa portion hiyo huwezi pata kitambi hata kwa kukilazimishawhitemoney mwenzio naogopa kukolezea kitambi π
ππ I don't!kwa portion hiyo huwezi pata kitambi hata kwa kukilazimisha
labda kama unalamba bia
Kwa hangover niliyoamka nayo leo, usiku huu ndio nimepata hamu ya kula msosi kama huu