mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Teknocrat the tooter.
Mkuu ndio umeamka nacho 😅😅😊😊
Nilikua na njaa sanaMkuu ndio umeamka nacho 😅😅😊😊
Nimejitahidi sana kukipenda hiki kiniaje lakin wapi...View attachment 2947302Mchakato unaendele.....
Jamani eeh. Najua wengi wenu humu ni wazoefu wa vifaa vya electronics vya kupikia. Sasa mimi ninatafuta kifaa ambacho kina matumizi matatu, kubake, kuchoma na kupasha at the same time. Jana nmeenda kuulizia madukani naona wananipiga sound tu ili ninunue, nmekuja kwenu wazoefu sasa mnielekeze ikiwezekana na picha kabisa.